Sheria za Shule

Kwa mda wote mwanafunzi anatakiwa:

  • Awe mazingira ya shule ispokua kwa kurusa.
  • Kuheshimu uongozi wa shule, waliimu na wafanyakazi wasio waalimu, na wanafunzi wenzake.
  • Kutumia lugha inayokubalika, akiwa ndani na nje ya shule.
  • Kusalimu watu wote kwa heshima kwa kutumia lugha ya kiingereza.
  • Kufuata ratiba ya shule.
  • Kuheshimu na kutunza mali za shule kwa uangalifu.
  • Kuvaa nguo za shule husika kutokana na wakati.
  • Kuwahi.
  • Kuongea kiingereza.
  • Be respectful in all attitude and to work diligently.